40 Na mwishowe Hiramu+ akatengeneza beseni+ na sepetu+ na mabakuli.+ Baadaye Hiramu akamaliza+ kufanya kazi yote ambayo alimfanyia Mfalme Sulemani kuhusiana na nyumba ya Yehova:
16 na makopo na sepetu+ na nyuma+ na vyombo+ vyake vyote ambavyo Hiram-abivu+ alimtengenezea Mfalme Sulemani kwa ajili ya nyumba ya Yehova, vya shaba iliyong’arishwa.