32 Basi kazi ya ile maskani ya hema la mkutano ikafikia mwisho wake, kwa maana wana wa Israeli waliendelea kufanya kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa.+ Walifanya vivyo hivyo.
43 Naye Musa akaiona ile kazi yote, na, tazama! walikuwa wameifanya kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru. Hivyo ndivyo walivyokuwa wamefanya. Basi Musa akawabariki.+