Kutoka 39:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Basi wakakamilisha kazi yote ya hema la ibada, yaani, hema la mkutano; Waisraeli walifanya kila jambo ambalo Yehova alimwamuru Musa.+ Hivyo ndivyo walivyofanya. Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 39:32 Mnara wa Mlinzi,12/15/1995, uku. 13
32 Basi wakakamilisha kazi yote ya hema la ibada, yaani, hema la mkutano; Waisraeli walifanya kila jambo ambalo Yehova alimwamuru Musa.+ Hivyo ndivyo walivyofanya.