Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mwishowe Musa na Haruni wakaingia ndani ya hema la mkutano, kisha wakatoka nje na kuwabariki watu.+

      Ndipo utukufu wa Yehova+ ukawatokea watu wote,

  • Hesabu 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia:

  • Yoshua 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yoshua akawabariki+ na kuwaacha waende zao ili wapate kwenda kwa mahema yao.

  • 1 Wafalme 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha mfalme akageuza uso wake, akaanza kulibariki+ kutaniko lote la Israeli, huku kutaniko lote la Israeli likiwa limesimama.

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mwishowe makuhani, Walawi, wakasimama na kuwabariki+ watu; na sauti yao ikasikilizwa, hivi kwamba sala yao ikaingia katika makao yake matakatifu, mbinguni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki