Mambo ya Walawi 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwishowe Musa na Haruni wakaingia ndani ya hema la mkutano, kisha wakatoka nje na kuwabariki watu.+ Ndipo utukufu wa Yehova+ ukawatokea watu wote, Hesabu 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia: Yoshua 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Yoshua akawabariki+ na kuwaacha waende zao ili wapate kwenda kwa mahema yao. 1 Wafalme 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha mfalme akageuza uso wake, akaanza kulibariki+ kutaniko lote la Israeli, huku kutaniko lote la Israeli likiwa limesimama. 2 Mambo ya Nyakati 30:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mwishowe makuhani, Walawi, wakasimama na kuwabariki+ watu; na sauti yao ikasikilizwa, hivi kwamba sala yao ikaingia katika makao yake matakatifu, mbinguni.+
23 Mwishowe Musa na Haruni wakaingia ndani ya hema la mkutano, kisha wakatoka nje na kuwabariki watu.+ Ndipo utukufu wa Yehova+ ukawatokea watu wote,
23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia:
14 Kisha mfalme akageuza uso wake, akaanza kulibariki+ kutaniko lote la Israeli, huku kutaniko lote la Israeli likiwa limesimama.
27 Mwishowe makuhani, Walawi, wakasimama na kuwabariki+ watu; na sauti yao ikasikilizwa, hivi kwamba sala yao ikaingia katika makao yake matakatifu, mbinguni.+