Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 39:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Naye Musa akaiona ile kazi yote, na, tazama! walikuwa wameifanya kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru. Hivyo ndivyo walivyokuwa wamefanya. Basi Musa akawabariki.+

  • Yoshua 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Yoshua akambariki, akampa Kalebu mwana wa Yefune, Hebroni kuwa urithi wake.+

  • 2 Samweli 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Daudi alipomaliza kutoa zile dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akawabariki+ watu katika jina la Yehova+ wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki