Kutoka 39:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Naye Musa akaiona ile kazi yote, na, tazama! walikuwa wameifanya kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru. Hivyo ndivyo walivyokuwa wamefanya. Basi Musa akawabariki.+ Yoshua 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Yoshua akambariki, akampa Kalebu mwana wa Yefune, Hebroni kuwa urithi wake.+ 2 Samweli 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Daudi alipomaliza kutoa zile dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akawabariki+ watu katika jina la Yehova+ wa majeshi.
43 Naye Musa akaiona ile kazi yote, na, tazama! walikuwa wameifanya kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru. Hivyo ndivyo walivyokuwa wamefanya. Basi Musa akawabariki.+
18 Daudi alipomaliza kutoa zile dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akawabariki+ watu katika jina la Yehova+ wa majeshi.