Hesabu 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia: 1 Mambo ya Nyakati 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Daudi alipomaliza kulitoa lile toleo la kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika,+ akaanza kuwabariki+ watu katika jina la Yehova.+ 2 Mambo ya Nyakati 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha mfalme akageuza uso wake, akaanza kulibariki+ kutaniko lote la Israeli, huku kutaniko lote la Israeli likiwa limesimama.+
23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia:
2 Daudi alipomaliza kulitoa lile toleo la kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika,+ akaanza kuwabariki+ watu katika jina la Yehova.+
3 Kisha mfalme akageuza uso wake, akaanza kulibariki+ kutaniko lote la Israeli, huku kutaniko lote la Israeli likiwa limesimama.+