Hesabu 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia: Yoshua 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Yoshua akawabariki+ na kuwaacha waende zao ili wapate kwenda kwa mahema yao. 2 Samweli 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Daudi alipomaliza kutoa zile dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akawabariki+ watu katika jina la Yehova+ wa majeshi. 1 Wafalme 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha mfalme akageuza uso wake, akaanza kulibariki+ kutaniko lote la Israeli, huku kutaniko lote la Israeli likiwa limesimama.
23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia:
18 Daudi alipomaliza kutoa zile dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akawabariki+ watu katika jina la Yehova+ wa majeshi.
14 Kisha mfalme akageuza uso wake, akaanza kulibariki+ kutaniko lote la Israeli, huku kutaniko lote la Israeli likiwa limesimama.