3 Nawe utafanya makopo yake ya kuondolea majivu yake yenye mafuta, na sepetu zake, na mabakuli yake, na nyuma zake, na vyetezo vyake; nawe utavifanya vyombo vyake vyote kwa shaba.+
45 na makopo na sepetu na mabakuli na vyombo hivi vyote,+ ambavyo Hiramu alivitengeneza kutoka kwa shaba iliyong’arishwa kwa ajili ya Mfalme Sulemani kwa ajili ya nyumba ya Yehova.