Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 38:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Baada ya hilo akavifanya vyombo vyote vya madhabahu, yale makopo na zile sepetu na yale mabakuli, zile nyuma na vile vyetezo. Vyombo vyake vyote alivifanya kwa shaba.+

  • Mambo ya Walawi 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Naye atachukua chetezo+ kilichojaa makaa yanayowaka moto kutoka katika madhabahu+ mbele za Yehova, na mikono yake yote miwili+ ikiwa imejaa uvumba uliotiwa manukato,+ naye atavileta ndani ya pazia.+

  • 1 Wafalme 7:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 na makopo na sepetu na mabakuli na vyombo hivi vyote,+ ambavyo Hiramu alivitengeneza kutoka kwa shaba iliyong’arishwa kwa ajili ya Mfalme Sulemani kwa ajili ya nyumba ya Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki