3 Baada ya hilo akavifanya vyombo vyote vya madhabahu, yale makopo na zile sepetu na yale mabakuli, zile nyuma na vile vyetezo. Vyombo vyake vyote alivifanya kwa shaba.+
12 “Naye atachukua chetezo+ kilichojaa makaa yanayowaka moto kutoka katika madhabahu+ mbele za Yehova, na mikono yake yote miwili+ ikiwa imejaa uvumba uliotiwa manukato,+ naye atavileta ndani ya pazia.+
45 na makopo na sepetu na mabakuli na vyombo hivi vyote,+ ambavyo Hiramu alivitengeneza kutoka kwa shaba iliyong’arishwa kwa ajili ya Mfalme Sulemani kwa ajili ya nyumba ya Yehova.