Kutoka 38:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Baada ya hilo akavifanya vyombo vyote vya madhabahu, yale makopo na zile sepetu na yale mabakuli, zile nyuma na vile vyetezo. Vyombo vyake vyote alivifanya kwa shaba.+ 2 Wafalme 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wakachukua makopo na sepetu na mikasi ya taa na vikombe na vyombo+ vyote vya shaba walivyokuwa wakitumia kuhudumu.
3 Baada ya hilo akavifanya vyombo vyote vya madhabahu, yale makopo na zile sepetu na yale mabakuli, zile nyuma na vile vyetezo. Vyombo vyake vyote alivifanya kwa shaba.+
14 Nao wakachukua makopo na sepetu na mikasi ya taa na vikombe na vyombo+ vyote vya shaba walivyokuwa wakitumia kuhudumu.