3 Nawe utafanya makopo yake ya kuondolea majivu yake yenye mafuta, na sepetu zake, na mabakuli yake, na nyuma zake, na vyetezo vyake; nawe utavifanya vyombo vyake vyote kwa shaba.+
16 na makopo na sepetu+ na nyuma+ na vyombo+ vyake vyote ambavyo Hiram-abivu+ alimtengenezea Mfalme Sulemani kwa ajili ya nyumba ya Yehova, vya shaba iliyong’arishwa.