Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mmoja wa watumishi akajibu na kusema: “Tazama! Nimeona jinsi mwana fulani wa Yese Mbethlehemu alivyo mwenye ustadi wa kukipiga,+ naye ni shujaa,+ mwanamume mwenye nguvu,+ na mwanamume wa vita na msemaji mwenye akili+ na mwanamume mwenye umbo zuri,+ na Yehova yupo pamoja naye.”+

  • 2 Samweli 16:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na shauri la Ahithofeli, aliloshauri siku hizo, lilikuwa kama inavyokuwa wakati mtu ameuliza juu ya neno la Mungu wa kweli. Hivyo ndivyo lilivyokuwa shauri+ lote la Ahithofeli+ kwa Daudi na pia kwa Absalomu.

  • 1 Wafalme 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yeye alikuwa mwana wa mwanamke mjane kutoka katika kabila la Naftali, na baba yake alikuwa mwanamume Mtiro,+ fundi wa shaba;+ naye alikuwa amejaa hekima na uelewaji+ na ujuzi kwa ajili ya kufanya kila kazi ya kutumia shaba. Basi akaja kwa Mfalme Sulemani, akaanza kufanya kazi yake yote.

  • Danieli 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye mfalme akaanza kusema nao, na kati yao wote hakupatikana yeyote aliye kama Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria;+ nao wakaendelea kusimama mbele ya mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki