7 Sasa niletee fundi aliye na ustadi wa kutengeneza vitu kwa kutumia dhahabu, fedha, shaba,+ chuma, sufu ya zambarau, nyuzi nyekundu, na nyuzi za bluu, na ambaye anajua kuchonga. Atafanya kazi Yuda na Yerusalemu pamoja na mafundi wangu stadi, ambao Daudi baba yangu aliwachagua.+