2 Samweli 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Toi mfalme wa Hamathi+ akasikia kwamba Daudi amepiga jeshi lote la Hadadezeri.+ 2 Wafalme 14:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa habari ya mambo mengine ya Yeroboamu na yote ambayo aliyafanya na uwezo wake, jinsi alivyopigana na jinsi alivyorudisha Damasko+ na Hamathi+ kwa Yuda katika Israeli, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?
28 Kwa habari ya mambo mengine ya Yeroboamu na yote ambayo aliyafanya na uwezo wake, jinsi alivyopigana na jinsi alivyorudisha Damasko+ na Hamathi+ kwa Yuda katika Israeli, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?