4 Walipoendelea kusafiri kutoka Mlima Hori+ wakipitia njia ya Bahari Nyekundu ili kuizunguka nchi ya Edomu,+ nafsi ya watu ikaanza kuchoka kwa sababu ya ile njia.
18 Walipotembea kupitia nyika, waliizunguka nchi ya Edomu+ na nchi ya Moabu, nao wakaenda upande wa mashariki wa nchi ya Moabu,+ wakakaa katika eneo la Arnoni; nao hawakuja katika mpaka wa Moabu,+ kwa sababu Arnoni ulikuwa ni mpaka wa Moabu.+