Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Bado akasema: “Hutapita.”+ Kisha Edomu+ akatoka nje ili kukutana naye akiwa na watu wengi sana na mkono wenye nguvu.

  • Hesabu 20:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi Edomu akakataa kumpa Israeli ruhusa ya kupita katikati ya eneo lake.+ Kwa hiyo Israeli akageuka na kumwacha.+

  • Hesabu 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Walipoendelea kusafiri kutoka Mlima Hori+ wakipitia njia ya Bahari Nyekundu ili kuizunguka nchi ya Edomu,+ nafsi ya watu ikaanza kuchoka kwa sababu ya ile njia.

  • Waamuzi 11:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Walipotembea kupitia nyika, waliizunguka nchi ya Edomu+ na nchi ya Moabu, nao wakaenda upande wa mashariki wa nchi ya Moabu,+ wakakaa katika eneo la Arnoni; nao hawakuja katika mpaka wa Moabu,+ kwa sababu Arnoni ulikuwa ni mpaka wa Moabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki