Hesabu 20:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi Edomu akakataa kumpa Israeli ruhusa ya kupita katikati ya eneo lake.+ Kwa hiyo Israeli akageuka na kumwacha.+ Kumbukumbu la Torati 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi tukapita mbali na ndugu zetu, wana wa Esau,+ wanaokaa Seiri, kutoka njia ya Araba,+ kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+ Waamuzi 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Walipotembea kupitia nyika, waliizunguka nchi ya Edomu+ na nchi ya Moabu, nao wakaenda upande wa mashariki wa nchi ya Moabu,+ wakakaa katika eneo la Arnoni; nao hawakuja katika mpaka wa Moabu,+ kwa sababu Arnoni ulikuwa ni mpaka wa Moabu.+
21 Basi Edomu akakataa kumpa Israeli ruhusa ya kupita katikati ya eneo lake.+ Kwa hiyo Israeli akageuka na kumwacha.+
8 Basi tukapita mbali na ndugu zetu, wana wa Esau,+ wanaokaa Seiri, kutoka njia ya Araba,+ kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+
18 Walipotembea kupitia nyika, waliizunguka nchi ya Edomu+ na nchi ya Moabu, nao wakaenda upande wa mashariki wa nchi ya Moabu,+ wakakaa katika eneo la Arnoni; nao hawakuja katika mpaka wa Moabu,+ kwa sababu Arnoni ulikuwa ni mpaka wa Moabu.+