2 Mambo ya Nyakati 25:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Amazia+ mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda akaendelea kuishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.+
25 Na Amazia+ mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda akaendelea kuishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.+