15 Na mambo mengine ya Yehoashi, yale aliyoyafanya na uwezo wake na jinsi alivyopigana na Amazia mfalme wa Yuda, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?
17 Na Amazia+ mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda akaendelea kuishi kwa miaka kumi na mitano+ baada ya kifo cha Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.