19 Na mambo mengine ya Yeroboamu, jinsi alivyopiga vita+ na jinsi alivyotawala, tazama, yameandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli.
12 Na mambo mengine ya Yehoashi na yote aliyoyafanya na uwezo wake na jinsi alivyopigana+ na Amazia mfalme wa Yuda, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?