2 Wafalme 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Katika siku zake Edomu+ waliasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, nao wakaweka mfalme+ atawale juu yao. 2 Mambo ya Nyakati 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye Amazia akajipa moyo, akawaongoza watu wake, akaenda katika Bonde la Chumvi;+ naye akawapiga wana wa Seiri,+ elfu kumi kati yao.+
20 Katika siku zake Edomu+ waliasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, nao wakaweka mfalme+ atawale juu yao.
11 Naye Amazia akajipa moyo, akawaongoza watu wake, akaenda katika Bonde la Chumvi;+ naye akawapiga wana wa Seiri,+ elfu kumi kati yao.+