2 Mambo ya Nyakati 25:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na kutoka wakati Amazia alipogeuka akaacha kumfuata Yehova, wakapanga hila+ juu yake katika Yerusalemu. Mwishowe akakimbilia Lakishi;+ lakini wakatuma watu kumfuatilia huko Lakishi, wakamuua huko.+
27 Na kutoka wakati Amazia alipogeuka akaacha kumfuata Yehova, wakapanga hila+ juu yake katika Yerusalemu. Mwishowe akakimbilia Lakishi;+ lakini wakatuma watu kumfuatilia huko Lakishi, wakamuua huko.+