Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwishowe Yehoashi akalala pamoja na mababu zake, na Yeroboamu+ akaketi juu ya kiti chake cha ufalme. Naye Yehoashi akazikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli.+

  • Hosea 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Neno la Yehova+ lililomjia Hosea+ mwana wa Beeri katika siku+ za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.

  • Amosi 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maneno ya Amosi, aliyekuwa kati ya wafugaji wa kondoo kutoka Tekoa,+ ambayo aliona katika maono kuhusu Israeli+ katika siku za Uzia+ mfalme wa Yuda na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli, miaka miwili kabla ya lile tetemeko la nchi.+

  • Amosi 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye Amazia kuhani wa Betheli+ akapeleka habari kwa Yeroboamu+ mfalme wa Israeli, akisema: “Amosi amepanga hila juu yako ndani ya nyumba ya Israeli.+ Nchi haiwezi kuvumilia maneno yake yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki