13 Mwishowe Yehoashi akalala pamoja na mababu zake, na Yeroboamu+ akaketi juu ya kiti chake cha ufalme. Naye Yehoashi akazikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli.+
1Neno la Yehova+ lililomjia Hosea+ mwana wa Beeri katika siku+ za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.
1Maneno ya Amosi, aliyekuwa kati ya wafugaji wa kondoo kutoka Tekoa,+ ambayo aliona katika maono kuhusu Israeli+ katika siku za Uzia+ mfalme wa Yuda na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli, miaka miwili kabla ya lile tetemeko la nchi.+
10 Naye Amazia kuhani wa Betheli+ akapeleka habari kwa Yeroboamu+ mfalme wa Israeli, akisema: “Amosi amepanga hila juu yako ndani ya nyumba ya Israeli.+ Nchi haiwezi kuvumilia maneno yake yote.+