1 Wafalme 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na mambo mengine ya Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya nyakati za wafalme wa Yuda? 2 Wafalme 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na mambo mengine ya Yehoashi na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? 2 Wafalme 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na mambo mengine ya Hezekia na nguvu zake zote na jinsi alivyotengeneza kile kidimbwi+ na bomba+ la maji kisha akaleta maji ndani ya jiji, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda?
29 Na mambo mengine ya Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya nyakati za wafalme wa Yuda?
19 Na mambo mengine ya Yehoashi na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda?
20 Na mambo mengine ya Hezekia na nguvu zake zote na jinsi alivyotengeneza kile kidimbwi+ na bomba+ la maji kisha akaleta maji ndani ya jiji, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda?