30 Na Hezekia ndiye aliyeziba+ chemchemi ya juu ya maji+ ya Gihoni+ na kuyaelekeza moja kwa moja chini upande wa magharibi mpaka Jiji la Daudi,+ na Hezekia akaendelea kufanikiwa katika kila moja ya kazi zake.+
3 Na Yehova akamwambia Isaya: “Tafadhali ondoka, uende kukutana na Ahazi, wewe na Shear-yashubu+ mwana wako, kwenye mwisho wa bomba+ la kidimbwi cha juu kando ya njia kuu ya uwanja wa mfuaji wa nguo.+