2 Wafalme 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini Amazia hakusikiliza.+ Basi Mfalme Yehoashi wa Israeli akapanda kwenda huko, naye akapambana vitani na Mfalme Amazia wa Yuda huko Beth-shemeshi,+ jiji la Yuda.+
11 Lakini Amazia hakusikiliza.+ Basi Mfalme Yehoashi wa Israeli akapanda kwenda huko, naye akapambana vitani na Mfalme Amazia wa Yuda huko Beth-shemeshi,+ jiji la Yuda.+