2 Samweli 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Daudi akajifanyia jina aliporudi kutoka kuwapiga Waedomu katika Bonde la Chumvi+—watu kumi na nane elfu.+ 1 Mambo ya Nyakati 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye Abishai+ mwana wa Seruya,+ akawapiga Waedomu katika Bonde la Chumvi,+ watu kumi na nane elfu. Zaburi 60:utangulizi Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya Kwa kiongozi juu ya Yungiyungi la Kikumbusho. Miktamu. Ya Daudi. Kwa ajili ya kufundishia.+ Wakati alipopambana na Aram-naharaimu na Aram-Soba, naye Yoabu akarudi na kupiga Edomu katika Bonde la Chumvi, naam, watu kumi na mbili elfu.+
13 Na Daudi akajifanyia jina aliporudi kutoka kuwapiga Waedomu katika Bonde la Chumvi+—watu kumi na nane elfu.+
12 Naye Abishai+ mwana wa Seruya,+ akawapiga Waedomu katika Bonde la Chumvi,+ watu kumi na nane elfu.
Kwa kiongozi juu ya Yungiyungi la Kikumbusho. Miktamu. Ya Daudi. Kwa ajili ya kufundishia.+ Wakati alipopambana na Aram-naharaimu na Aram-Soba, naye Yoabu akarudi na kupiga Edomu katika Bonde la Chumvi, naam, watu kumi na mbili elfu.+