Ezekieli 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Basi waambie watu wa nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Rudini na mziache sanamu zenu zinazochukiza na mgeuze nyuso zenu kutoka kwenye mazoea yenu yanayochukiza.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:6 Ibada Safi, uku. 105
6 “Basi waambie watu wa nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Rudini na mziache sanamu zenu zinazochukiza na mgeuze nyuso zenu kutoka kwenye mazoea yenu yanayochukiza.+