Ezekieli 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Rudini, mgeuke na kuziacha sanamu zenu za mavi+ na mgeuze nyuso zenu kutoka kwa machukizo yenu yote;+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:6 Ibada Safi, uku. 105
6 “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Rudini, mgeuke na kuziacha sanamu zenu za mavi+ na mgeuze nyuso zenu kutoka kwa machukizo yenu yote;+