Methali 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kilindi cha maji.+ Kisima cha hekima ni kijito cha maji yanayobubujika.+ Matendo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na hata juu ya watumwa wangu na juu ya wajakazi wangu nitaimimina sehemu ya roho yangu katika siku hizo, nao watatoa unabii.+
4 Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kilindi cha maji.+ Kisima cha hekima ni kijito cha maji yanayobubujika.+
18 na hata juu ya watumwa wangu na juu ya wajakazi wangu nitaimimina sehemu ya roho yangu katika siku hizo, nao watatoa unabii.+