Methali 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kinywa cha mwadilifu ni chemchemi ya uzima;+ lakini kinywa cha waovu, hufunika jeuri.+ Methali 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Shauri moyoni mwa mtu ni kama kilindi cha maji,+ lakini mtu mwenye utambuzi ataliteka.+