Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Hata hivyo, Musa akamwambia: “Je, unaona wivu kwa ajili yangu? Hapana, laiti watu wote wa Yehova wangekuwa manabii, kwa sababu Yehova angeiweka roho yake juu yao!”+

  • Yoeli 2:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na hata juu ya watumishi wa kiume na juu ya wajakazi katika siku hizo nitaimimina roho yangu.+

  • Matendo 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Baada ya kuwatafuta, tuliwapata wanafunzi na kukaa huko siku saba. Lakini kupitia roho+ wakarudiarudia kumwambia Paulo asikanyage Yerusalemu.

  • 1 Wakorintho 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 mwingine bado hupewa utendaji wa matendo yenye nguvu,+ mwingine kutoa unabii,+ mwingine utambuzi+ wa maneno yaliyoongozwa na roho,+ mwingine lugha+ tofauti, na mwingine fasiri+ ya lugha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki