29 Hata hivyo, Musa akamwambia: “Je, unaona wivu kwa ajili yangu? Hapana, laiti watu wote wa Yehova wangekuwa manabii, kwa sababu Yehova angeiweka roho yake juu yao!”+
10 mwingine bado hupewa utendaji wa matendo yenye nguvu,+ mwingine kutoa unabii,+ mwingine utambuzi+ wa maneno yaliyoongozwa na roho,+ mwingine lugha+ tofauti, na mwingine fasiri+ ya lugha.