20 Na Isaya mwana wa Amozi akatuma habari kwa Hezekia, na kusema: “Yehova, Mungu wa Israeli amesema hivi,+ ‘Nimeisikia+ sala+ ambayo umenitolea kumhusu Senakeribu mfalme wa Ashuru.
5 Na wakati wa toleo la nafaka+ la jioni nikasimama kutoka kwenye fedheha yangu, vazi langu na koti langu likiwa limepasuliwa, kisha nikainama nikapiga magoti+ na kumnyooshea mikono Yehova Mungu wangu.+