Hosea 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Nitakufanyia nini, Ee Efraimu? Nitakufanyia nini, Ee Yuda,+ wakati fadhili zenu zenye upendo ni kama mawingu ya asubuhi na kama umande ambao hutoweka mapema?
4 “Nitakufanyia nini, Ee Efraimu? Nitakufanyia nini, Ee Yuda,+ wakati fadhili zenu zenye upendo ni kama mawingu ya asubuhi na kama umande ambao hutoweka mapema?