Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 15:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+

  • Methali 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Macho yako yatazame mbele moja kwa moja,+ naam, macho yako yenye kung’aa yanapaswa kutazama mbele yako moja kwa moja.+

  • Methali 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+

  • Mathayo 7:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Vivyo hivyo kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda yasiyofaa;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki