Ezekieli 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 anawatesa wenye uhitaji na maskini,+ anawanyang’anya watu vitu vyao, harudishi kitu kilichowekwa rehani; anatumaini sanamu zinazochukiza,+ anajihusisha na mazoea yanayochukiza,+
12 anawatesa wenye uhitaji na maskini,+ anawanyang’anya watu vitu vyao, harudishi kitu kilichowekwa rehani; anatumaini sanamu zinazochukiza,+ anajihusisha na mazoea yanayochukiza,+