Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Sulemani akaanza kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme mahali pa Daudi baba yake, akafanikiwa,+ na Israeli wote walikuwa wakimtii.

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Je, si juu yenu kujua kwamba Yehova Mungu wa Israeli mwenyewe alimpa Daudi+ ufalme juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo,+ kwake na kwa wanawe,+ kwa agano la chumvi?+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Na sasa ninyi mnafikiri juu ya kusimama imara kupigana na ufalme wa Yehova mkononi mwa wana wa Daudi,+ huku mkiwa umati mkubwa+ nanyi mna ndama wa dhahabu ambao Yeroboamu aliwatengenezea ninyi kuwa miungu.+

  • Mathayo 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yese akamzaa Daudi+ mfalme.+

       Daudi akamzaa Sulemani+ kupitia mke wa Uria;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki