23 Na Sulemani akaanza kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme mahali pa Daudi baba yake, akafanikiwa,+ na Israeli wote walikuwa wakimtii.
5 Je, si juu yenu kujua kwamba Yehova Mungu wa Israeli mwenyewe alimpa Daudi+ ufalme juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo,+ kwake na kwa wanawe,+ kwa agano la chumvi?+
8 “Na sasa ninyi mnafikiri juu ya kusimama imara kupigana na ufalme wa Yehova mkononi mwa wana wa Daudi,+ huku mkiwa umati mkubwa+ nanyi mna ndama wa dhahabu ambao Yeroboamu aliwatengenezea ninyi kuwa miungu.+