Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na wote wenye mwili wataona njia ya Mungu ya kuokoa.’ ”+

  • Matendo 13:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+

  • Matendo 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na bado akaniambia, ‘Ondoka uende, kwa sababu nitakutuma mbali sana kwa mataifa.’ ”+

  • Waroma 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo nauliza, Je, walijikwaa hivi kwamba wakaanguka+ kabisa? Hilo lisitendeke kamwe! Lakini kwa kujikwaa+ kwao kuna wokovu kwa watu wa mataifa,+ kuwachochea wao kuwa na wivu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki