Kumbukumbu la Torati 32:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+ Waroma 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hata hivyo, nauliza, je, Israeli walikosa kujua?+ Kwanza Musa anasema: “Nitawachochea ninyi kuwa na wivu kupitia lile ambalo si taifa; nitawachochea ninyi kuwa na hasira kali kupitia taifa jinga.”+
21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+
19 Hata hivyo, nauliza, je, Israeli walikosa kujua?+ Kwanza Musa anasema: “Nitawachochea ninyi kuwa na wivu kupitia lile ambalo si taifa; nitawachochea ninyi kuwa na hasira kali kupitia taifa jinga.”+