15 Lakini Bwana akamwambia: “Ondoka uende, kwa sababu mtu huyu ni chombo kilichochaguliwa+ kwangu ili kupeleka jina langu kwa mataifa+ na vilevile kwa wafalme+ na wana wa Israeli.
2 Walipokuwa wakimhudumia+ Yehova hadharani na kufunga, roho takatifu ikasema: “Kati ya watu wote wekeni kando Barnaba na Sauli+ kwa ajili yangu kwa kazi ambayo nimewaitia wao.”
7 Bali, kinyume chake, walipoona kwamba nilikuwa nimekabidhiwa+ habari njema kwa ajili ya wale wasiotahiriwa,+ kama vile Petro alivyokuwa nayo kwa ajili ya wale waliotahiriwa+—
7 Kwa kusudi la ushahidi+ huo mimi niliwekwa rasmi kuwa mhubiri na mtume+—ninasema kweli,+ sisemi uwongo—mwalimu wa mataifa+ katika jambo linalohusu imani+ na kweli.