14 Nilipoona jinsi walivyoogopa, mara moja nikasimama na kuwaambia wakuu+ na watawala wasaidizi na watu wengine wote: “Msiwaogope.+ Mkumbukeni Yehova, ambaye ni mkuu na mwenye kuogopesha;+ nanyi mpigane kwa ajili ya ndugu zenu, wana wenu na mabinti zenu, wake zenu na nyumba zenu.”