Kumbukumbu la Torati 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana,+ Mungu mkuu, mwenye nguvu na mwenye kuogopesha,+ asiyemtendea yeyote kwa upendeleo+ wala kukubali rushwa,+ 1 Samweli 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ole wetu! Ni nani atakayetuokoa kutoka katika mkono wa huyu Mungu mtukufu? Huyu ndiye Mungu aliyepiga Misri kwa kila namna ya mauaji katika nyika.+
17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana,+ Mungu mkuu, mwenye nguvu na mwenye kuogopesha,+ asiyemtendea yeyote kwa upendeleo+ wala kukubali rushwa,+
8 Ole wetu! Ni nani atakayetuokoa kutoka katika mkono wa huyu Mungu mtukufu? Huyu ndiye Mungu aliyepiga Misri kwa kila namna ya mauaji katika nyika.+