Isaya 43:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nikumbushe; na tujiweke hukumuni pamoja;+ toa masimulizi yako kuhusu jambo hilo ili uwe upande wa haki.+ Yeremia 2:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “Lakini unasema, ‘Nimebaki bila hatia. Hakika hasira yake imeondoka juu yangu.’+ “Tazama, ninaingia katika ugomvi pamoja nawe kwa sababu unasema, ‘Sikutenda dhambi.’+ Hosea 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sikieni neno la Yehova, enyi wana wa Israeli, kwa maana Yehova ana kesi na wakaaji wa nchi,+ kwa maana hakuna kweli+ wala fadhili zenye upendo wala kumjua Mungu katika nchi.+
26 Nikumbushe; na tujiweke hukumuni pamoja;+ toa masimulizi yako kuhusu jambo hilo ili uwe upande wa haki.+
35 “Lakini unasema, ‘Nimebaki bila hatia. Hakika hasira yake imeondoka juu yangu.’+ “Tazama, ninaingia katika ugomvi pamoja nawe kwa sababu unasema, ‘Sikutenda dhambi.’+
4 Sikieni neno la Yehova, enyi wana wa Israeli, kwa maana Yehova ana kesi na wakaaji wa nchi,+ kwa maana hakuna kweli+ wala fadhili zenye upendo wala kumjua Mungu katika nchi.+