13 Kumekuwa na ukosaji na kumkana Yehova;+ na kulikuwako kurudi nyuma kutoka kwa Mungu wetu, kusema ukandamizaji na maasi,+ kutunga na kunong’ona maneno ya uwongo kutoka moyoni.+
13 “Kwa maana kuanzia aliye mdogo zaidi kati yao mpaka aliye mkubwa zaidi kati yao, kila mmoja anajipatia pato lisilo la haki;+ na kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa uwongo.+
2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+