Zaburi 112:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 112 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ ב [Behth]Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+ Ufunuo 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+
112 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ ב [Behth]Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+
6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+