Hesabu 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 bali kwa mwezi mzima, mpaka itakapotokea kwenye mianzi ya pua zenu na kuwachukiza,+ kwa sababu mlimkataa Yehova aliye kati yenu, nanyi mlilia mbele zake mkisema: “Kwa nini tumetoka Misri?”’”+
20 bali kwa mwezi mzima, mpaka itakapotokea kwenye mianzi ya pua zenu na kuwachukiza,+ kwa sababu mlimkataa Yehova aliye kati yenu, nanyi mlilia mbele zake mkisema: “Kwa nini tumetoka Misri?”’”+