Hesabu 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 bali mwezi mzima, mpaka itokee kwenye mianzi ya pua zenu nayo iwe chukizo kwenu,+ kwa sababu tu mlimkataa Yehova, aliye katikati yenu, nanyi mlilia mbele zake, na kusema: “Kwa nini tumetoka Misri?”’”+
20 bali mwezi mzima, mpaka itokee kwenye mianzi ya pua zenu nayo iwe chukizo kwenu,+ kwa sababu tu mlimkataa Yehova, aliye katikati yenu, nanyi mlilia mbele zake, na kusema: “Kwa nini tumetoka Misri?”’”+