15 Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nami nitakutunza katika njia yote unayoenda, nami nitakurudisha kwenye nchi hii,+ kwa sababu sitakuacha mpaka niwe kwa kweli nimefanya hayo ambayo nimekuambia.”+
16 Nami nitawafanya vipofu watembee katika njia ambayo hawakuijua;+ nitawafanya wakanyage katika barabara ambayo hawakuijua.+ Nitabadili mahali penye giza mbele yao pawe nuru,+ na nchi ya mawemawe iwe nchi tambarare.+ Hayo ndiyo mambo ambayo nitafanya kwa ajili yao, nami sitawaacha.”+