Kumbukumbu la Torati 28:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Nawe utalazimika kuwatumikia adui+ zako ambao Yehova atawatuma juu yako kwa njaa+ na kiu na uchi na uhitaji wa kila kitu; naye hakika ataweka nira ya chuma katika shingo yako mpaka atakapokuwa amekuangamiza wewe.+ Zaburi 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae cha udongo,+Na ulimi wangu umefanywa ushikamane na ufizi wangu;+Nawe unaniweka katika mavumbi ya kifo.+ Maombolezo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ulimi wa mtoto anayenyonya umekwama kwenye kaakaa lake kwa sababu ya kiu.+Watoto wameomba mkate.+ Hakuna anayewapa mkate huo.+
48 Nawe utalazimika kuwatumikia adui+ zako ambao Yehova atawatuma juu yako kwa njaa+ na kiu na uchi na uhitaji wa kila kitu; naye hakika ataweka nira ya chuma katika shingo yako mpaka atakapokuwa amekuangamiza wewe.+
15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae cha udongo,+Na ulimi wangu umefanywa ushikamane na ufizi wangu;+Nawe unaniweka katika mavumbi ya kifo.+
4 Ulimi wa mtoto anayenyonya umekwama kwenye kaakaa lake kwa sababu ya kiu.+Watoto wameomba mkate.+ Hakuna anayewapa mkate huo.+