Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+ Ufunuo 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 akisema: “Msiidhuru dunia au bahari au miti, mpaka baada ya sisi kuwatia muhuri+ watumwa wa Mungu wetu katika mapaji ya nyuso zao.”+ Ufunuo 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akaniambia: “Maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli;+ ndiyo, Yehova Mungu wa maneno ya manabii yaliyoongozwa na roho+ alimtuma malaika wake ili kuwaonyesha watumwa wake mambo ambayo lazima yatendeke upesi.+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+
3 akisema: “Msiidhuru dunia au bahari au miti, mpaka baada ya sisi kuwatia muhuri+ watumwa wa Mungu wetu katika mapaji ya nyuso zao.”+
6 Naye akaniambia: “Maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli;+ ndiyo, Yehova Mungu wa maneno ya manabii yaliyoongozwa na roho+ alimtuma malaika wake ili kuwaonyesha watumwa wake mambo ambayo lazima yatendeke upesi.+