Tito 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 juu ya msingi wa tumaini la uzima wa milele+ ambao Mungu, asiyeweza kusema uwongo,+ aliahidi nyakati za zamani za kale,+ Ufunuo 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Yule aliyeketi juu ya kiti cha ufalme+ akasema: “Tazama! Ninafanya vitu vyote kuwa vipya.”+ Pia, anasema: “Andika, kwa sababu maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli.”
2 juu ya msingi wa tumaini la uzima wa milele+ ambao Mungu, asiyeweza kusema uwongo,+ aliahidi nyakati za zamani za kale,+
5 Na Yule aliyeketi juu ya kiti cha ufalme+ akasema: “Tazama! Ninafanya vitu vyote kuwa vipya.”+ Pia, anasema: “Andika, kwa sababu maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli.”